Video+Lyrics: Imela – Solomon Lange

Video+Lyrics: Imela – Solomon Lange

Lyrics
There’s a new song in my mouth today
A song of praise in my mouth today
You’ve added another day unto my days
You’ve added another year unto my years
You pick me from the Mary Cliff
You set me up on a rock to stay
You turn my life around
You put new song in my mouth
Hallelujah hosanna eh yee
Hallelujah hosanna eh yee
Hallelujah hosanna eh yee
Hallelujah hosanna eh yee
Baba you are you worthy of my praise
Imela ooo
Imela ooo
Imela ooo
Adupe oo
Adupe oo
Nagode oo
Nagode oo
Nagode oo
Jehovah my father, you are my great provider
Jehovah my father, you have turned my life around
You pick me from dunkhill and set me on floor
You pick me from the back side and you brought me through the front
Hallelujah hosanna, eh yee
Hallelujah hosanna eh yee
Hallelujah hosanna eh yee
Hallelujah hosanna eh yee
Baba you worthy of my praise
Imela oo (worthy of my praise)
Imela oo
(Baba I give you all the praises)
Imela oo
Adupe oo
Adupe oo
Nagode oo
Nagode oo
Nagode oo
Hallelujah hosanna, hallelujah hosanna
Hallelujah hosanna, eh Yee
Hallelujah hosanna
Baba you are worthy of the glory
Imela oo (You are worthy of thy glory) Imelaoo (Papa we give you all thy glory) Imela oo (We give all thy adoration)
Adupe oo (Baba receive all our thanks)
Adupe oo (Nagode)
Nagode oo (Messiah I love you)
Imela oo (Messiah I love you)
Imela oo (baba I give you all my dancing)
Imela oo
Adupe oo
Adupe oo
Nagode oo
Nagode oo
Nagode oo
Video+Lyrics: Yabo – Solomon Lange

Video+Lyrics: Yabo – Solomon Lange

Lyrics
Some trust in chariots
Some trust in horses
But we trust in the name of the Lord
Some trust in their skills
Others trust in their kins
But we trust in the name of the Lord
When the arm of flesh will fail them
We’ll still be standing tall
‘Cause we trust in the name of the Lord
When they say there is a casting down
We will say there is a lifting up
‘Cause we trust in the name of the Lord
Menene zan baka masoyi na
Domin kaunar ka, zuwa gareni
Menene zan baka mai ceto na
Domin alherin ka, zuwa gareni
Yabo daga zuchiya
Yabo daga zuchiya
Yabo daga zuchiya
Na baka (na baka)
Na baka (na baka)
Yabo daga zuchiya
Yabo daga zuchiya
Yabo daga zuchiya
Na baka (na baka)
Na baka (na baka)
If the Lord doesn’t build a house, then we labor in vain
But we trust in the name of the Lord
If the Lord doesn’t watch the city, then we stay awake in vain
But we trust in the name of the Lord
Greater is He who is in me, than he who is in the world
I triumph in the name of the Lord, ha
Menene zan baka soyi na
Domin kaunar ka, zuwa gareni
Menene zan baka mai ceto na
Domin alherin ka, zuwa gareni
Yabo daga zuchiya
Yabo daga zuchiya
Yabo daga zuchiya
Na baka (na baka)
Na baka (na baka)
Yabo daga zuchiya
Yabo daga zuchiya
Yabo daga zuchiya
Na baka (na baka)
Na baka (na baka)
Blow the trumpet in Zion
Sound the alarm on the holy mountain
We will never be afraid
We’ve got the victory
We’ve got the victory forever
Yabo daga zuchiya
Sujada daga zuchiya
Yabo daga zuchiya
Godiya daga zuchiya
Yabo daga zuchiya
Yabo daga zuchiya
Yabo daga zuchiya
Na baka (na baka)
Na baka (na baka)
Yabo daga zuchiya
Yabo daga zuchiya
Yabo daga zuchiya
Na baka (na baka)
Na baka (na baka)
Video+Lyrics: You Have Done Me Well – Solomon Lange

Video+Lyrics: You Have Done Me Well – Solomon Lange

Lyrics
You have done me well
You have done me well
You have done me well, Jesus
You have done me well
You have done me well
You have done me well, Jesus
You have done me well
You have done me well
You have done me well, Jesus
You have done me well
You have done me well
You have done me well, Jesus
You have done me well
You have done me well
You have done me well, Jesus
Imewa moma
Imewa moma
Imewa moma, onyewe
Imewa moma
Imewa moma
Imewa moma, onyewe
You have done me well
You have done me well
You have done me well, Jesus
You have done me well
You have done me well
You have done me well, Jesus
Hallelujah
Hallelujah
Hallelujah, praise the Lord
Hallelujah
Hallelujah
Hallelujah, amen
Hallelujah
Hallelujah
Hallelujah, praise the Lord
Hallelujah
Hallelujah
Hallelujah, amen
Hallelujah
Hallelujah
Hallelujah, praise the Lord
Hallelujah
Hallelujah
Hallelujah, amen
Video+Lyrics: Neema Yako by Walter Chilambo

Video+Lyrics: Neema Yako by Walter Chilambo

Lyrics:
Umenitoa mbali
Kusiko julikana
Kwa Neema yako
Isiyosemekana
Umenitoa kule kusikojulikana
Kwa upendo wako
UsiosemekanaNi Muujiza
Mi kufika hapa
Ni Muujiza
Mi kuwa hai
Ni Muujiza
Kupendwa na wewe Yesu
Ni Muujiza
Kusimama tena

Si kwamba mimi nimetenda wema, saaaana
Si kwamba mimi ni mtakatifu , sanaaaa
Si kwamba mimi ni mnyenyekevu, sanaaaa
Si kwamba mimi nko sawa sawa sawa, sanaaa
Ilaaaaaa

Ni Neema yako Bwana (Neema yako Bwana )
Ni Neema yako Bwana (Neema yako Baba )
Ni Neema yako Bwana (Aiyelelele leleleee)
Neema yako Bwana
Neema yako BwanaDuniani nimekutana na mengii
Taabu na misukosuko
Kuishiwa na kuchoka
Duniani nimepambana na vingii
Kutengwa na kukataliwa
Mimi eeh
Ninaona ajabu
Hukuniacha nilivyo Oh
Ajabu
Hukunipungukia Yesu

Si kwamba mimi nimetenda wema sanaaa

 

Si kwamba mimi ni mtakatifu sanaaaa
Si kwamba mimi ni mnyenyekevu sanaaa
Si kwamba mimi nko sawa sawa sawa
Sanaaa IlaNi Neema yako Bwana (Neema yako Bwana)
Ni Neema yako Bwana (Neema yako Baba)
Ni Neema yako Bwana (Aiyelelele leleleee)
Neema yako Bwana
Neema yako

Neema yako
Ni Neema yako Bwana
Neema yako
Ni Muujiza (Ni Neema yako Bwana)
Ni Muujiza
Ni Neema yako Bwana
Ni muujiza

Yesu unaniwazia mema  (Ni Neema yako Bwana)
Mazuri unanitendea
Ni Muujiza
Ni Neema yako Bwana
Ni Muujiza

 

Video+Lyrics: Kama Si Wewe by Goodluck Gozbert

Video+Lyrics: Kama Si Wewe by Goodluck Gozbert

Lyrics
Na wala sio sababu ya jina langu
Wala sio sababu ninafaa
Najua sio sababu ya sadaka zangu
Maana ndio bado nina shangaa
Nilijua kwamba nimeshapoteza nafasi
Mimi ni nani kwani nakosa neno kusema
Ooh unisamehe, sikujua unanipenda hivi
Umefanya bure, sawa na upendavyo
Ume ruhusu niwe vile upendavyo
Nitakushukuru tu, kwa neema
Asante tu, kwa wema
Ninakushukuru tu, kwa neema
Asante tu, kwa wema
Maana kama si wewe
(Kama si wewe, ningekua wapi)
Kama si wewe
(Kama si wewe, ningekua wapi)
Maana kama si wewe
(Kama si wewe, ningekua wapi)
Maana kama si wewe
(Kama si wewe, ningekua wapi)
Wacha machozi
(Wacha machozi yanitiririke tu)
Yanitiririke
(Wacha kilio, nikulilie Mungu)
Basi wacha machozi
(Wacha machozi, yanitiririke tu)
Wacha kilio
(Wacha kilio, nikulilie Mungu)
Natafuta cha kunitenga nawe
Bado sijaona
Nilisha katwakatwa moyo
Na kupondwa na wanadamu
Leo wataniambia nini, nikiwa nawe
Leo wata niambia nini uuh uuuh, nikiwa nawe
Pesa huitwa sabuni ila maji niwe
Unioshe bwana, nitakase
Nitakushukuru tu, kwa neema
Asante tu, kwa wema
Ninakushukuru tu, kwa neema
Asante tu, kwa wema
Maana kama si wewe
(Kama si wewe, ningekua wapi)
Maana kama si wewe
(Kama si wewe, ningekua wapi)
Kama si wewe
(Kama si wewe, ningekua wapi)
Maana kama si wewe
(Kama si wewe, ningekua wapi)
Wacha machozi
(Wacha machozi yanitiririke tu)
Wacha kilio
(Wacha kilio, nikulilie Mungu)
Wacha machozi
(Wacha machozi, yanitiririke tu)
Wacha kilio
(Wacha kilio, nikulilie Mungu)
Video+Lyrics: Chanzo  by Rehema Simfukwe

Video+Lyrics: Chanzo by Rehema Simfukwe

Lyrics
Ooh oh ooh
Nimejifunza kudhiliwa na kufanikiwa
Katika yote wewe bado Mungu
Ninajua kushiba na kuona njaa
Katika yote wewe bado Mungu
Hata upepo nao uvume
Mimi nitakuabudu wewe
Chanzo cha uhai wangu nakuabudu
Hata giza nalo litande
Mimi nitakuabudu wewe
Chanzo cha uhai wangu nakuabudu
Nimejifunza kudhiliwa na kufanikiwa
Katika yote wewe bado Mungu
Ninajua kushiba na kuona njaa
Katika yote wewe bado Mungu
Ninajua udhaifu na kuwa na afya
Katika yote wewe Bado Mungu
Hata upepo nao uvume
Mimi nitakuabudu wewe
(Ooh Yesu Yesu)
Chanzo cha uhai wangu nakuabudu
Hata giza nalo litande
Mimi nitakuabudu wewe
Chanzo cha uhai wangu nakuabudu
Nakuabudu Nakuabudu
Wewe ni chanzo cha uhai wangu
Nakuabudu Nakuabudu
Wewe ni chanzo cha uhai wangu
Nakuinua Nakuinua
Wewe ni chanzo cha uhai wangu