Lyrics
Ooh oh ooh
Nimejifunza kudhiliwa na kufanikiwa
Katika yote wewe bado Mungu
Ninajua kushiba na kuona njaa
Katika yote wewe bado Mungu
Hata upepo nao uvume
Mimi nitakuabudu wewe
Chanzo cha uhai wangu nakuabudu
Hata giza nalo litande
Mimi nitakuabudu wewe
Chanzo cha uhai wangu nakuabudu
Nimejifunza kudhiliwa na kufanikiwa
Katika yote wewe bado Mungu
Ninajua kushiba na kuona njaa
Katika yote wewe bado Mungu
Ninajua udhaifu na kuwa na afya
Katika yote wewe Bado Mungu
Hata upepo nao uvume
Mimi nitakuabudu wewe
(Ooh Yesu Yesu)
Chanzo cha uhai wangu nakuabudu
Hata giza nalo litande
Mimi nitakuabudu wewe
Chanzo cha uhai wangu nakuabudu
Nakuabudu Nakuabudu
Wewe ni chanzo cha uhai wangu
Nakuabudu Nakuabudu
Wewe ni chanzo cha uhai wangu
Nakuinua Nakuinua
Wewe ni chanzo cha uhai wangu