by Songs Archive | Jun 9, 2021 | Foreign Gospel Music, Gospel Music, Lyrics
Lyrics
Let this be a place where You long to come
As we make a way for Your love
Let these hands be clean and this heart be pure
Blameless as the bride You’re coming for
It’s the power of Your presence that changes us
Your glory all around us and we’re undone
You open up the heavens and fall afresh on us
Let this be a house where You long to stay
Ever will You meet us face to face
Abandoned here before You we want nothing else
Than just to be with You and You alone
It’s the power of Your presence that changes us
Your glory all around us and we’re undone
You open up the heavens and fall afresh on us
Holy Spirit fill this heart again
Holy Spirit burn like fire within
Holy Spirit fill this heart again
Holy Spirit burn like fire within
Holy Spirit fill this heart again
Holy Spirit burn like fire within
It’s the power of Your presence that changes us
Your glory all around us and we’re undone
You open up the heavens and fall afresh on us
Fall afresh on us
Fall afresh on us
Fall afresh on us
Fall afresh on us
Fall afresh on us
Fall afresh on us
Fall afresh on us
by Songs Archive | Jun 9, 2021 | Gospel Music, Lyrics, Swahili
Lyrics:
Umenitoa mbali
Kusiko julikana
Kwa Neema yako
Isiyosemekana
Umenitoa kule kusikojulikana
Kwa upendo wako
UsiosemekanaNi Muujiza
Mi kufika hapa
Ni Muujiza
Mi kuwa hai
Ni Muujiza
Kupendwa na wewe Yesu
Ni Muujiza
Kusimama tena
Si kwamba mimi nimetenda wema, saaaana
Si kwamba mimi ni mtakatifu , sanaaaa
Si kwamba mimi ni mnyenyekevu, sanaaaa
Si kwamba mimi nko sawa sawa sawa, sanaaa
Ilaaaaaa
Ni Neema yako Bwana (Neema yako Bwana )
Ni Neema yako Bwana (Neema yako Baba )
Ni Neema yako Bwana (Aiyelelele leleleee)
Neema yako Bwana
Neema yako BwanaDuniani nimekutana na mengii
Taabu na misukosuko
Kuishiwa na kuchoka
Duniani nimepambana na vingii
Kutengwa na kukataliwa
Mimi eeh
Ninaona ajabu
Hukuniacha nilivyo Oh
Ajabu
Hukunipungukia Yesu
Si kwamba mimi nimetenda wema sanaaa
Si kwamba mimi ni mtakatifu sanaaaa
Si kwamba mimi ni mnyenyekevu sanaaa
Si kwamba mimi nko sawa sawa sawa
Sanaaa IlaNi Neema yako Bwana (Neema yako Bwana)
Ni Neema yako Bwana (Neema yako Baba)
Ni Neema yako Bwana (Aiyelelele leleleee)
Neema yako Bwana
Neema yako
Neema yako
Ni Neema yako Bwana
Neema yako
Ni Muujiza (Ni Neema yako Bwana)
Ni Muujiza
Ni Neema yako Bwana
Ni muujiza
Yesu unaniwazia mema (Ni Neema yako Bwana)
Mazuri unanitendea
Ni Muujiza
Ni Neema yako Bwana
Ni Muujiza
by Songs Archive | Jun 9, 2021 | Gospel Music, Lyrics, Swahili
Lyrics
Na wala sio sababu ya jina langu
Wala sio sababu ninafaa
Najua sio sababu ya sadaka zangu
Maana ndio bado nina shangaa
Nilijua kwamba nimeshapoteza nafasi
Mimi ni nani kwani nakosa neno kusema
Ooh unisamehe, sikujua unanipenda hivi
Umefanya bure, sawa na upendavyo
Ume ruhusu niwe vile upendavyo
Nitakushukuru tu, kwa neema
Asante tu, kwa wema
Ninakushukuru tu, kwa neema
Asante tu, kwa wema
Maana kama si wewe
(Kama si wewe, ningekua wapi)
Kama si wewe
(Kama si wewe, ningekua wapi)
Maana kama si wewe
(Kama si wewe, ningekua wapi)
Maana kama si wewe
(Kama si wewe, ningekua wapi)
Wacha machozi
(Wacha machozi yanitiririke tu)
Yanitiririke
(Wacha kilio, nikulilie Mungu)
Basi wacha machozi
(Wacha machozi, yanitiririke tu)
Wacha kilio
(Wacha kilio, nikulilie Mungu)
Natafuta cha kunitenga nawe
Bado sijaona
Nilisha katwakatwa moyo
Na kupondwa na wanadamu
Leo wataniambia nini, nikiwa nawe
Leo wata niambia nini uuh uuuh, nikiwa nawe
Pesa huitwa sabuni ila maji niwe
Unioshe bwana, nitakase
Nitakushukuru tu, kwa neema
Asante tu, kwa wema
Ninakushukuru tu, kwa neema
Asante tu, kwa wema
Maana kama si wewe
(Kama si wewe, ningekua wapi)
Maana kama si wewe
(Kama si wewe, ningekua wapi)
Kama si wewe
(Kama si wewe, ningekua wapi)
Maana kama si wewe
(Kama si wewe, ningekua wapi)
Wacha machozi
(Wacha machozi yanitiririke tu)
Wacha kilio
(Wacha kilio, nikulilie Mungu)
Wacha machozi
(Wacha machozi, yanitiririke tu)
Wacha kilio
(Wacha kilio, nikulilie Mungu)
by Songs Archive | Jun 9, 2021 | Gospel Music, Lyrics, Swahili
Lyrics
Ooh oh ooh
Nimejifunza kudhiliwa na kufanikiwa
Katika yote wewe bado Mungu
Ninajua kushiba na kuona njaa
Katika yote wewe bado Mungu
Hata upepo nao uvume
Mimi nitakuabudu wewe
Chanzo cha uhai wangu nakuabudu
Hata giza nalo litande
Mimi nitakuabudu wewe
Chanzo cha uhai wangu nakuabudu
Nimejifunza kudhiliwa na kufanikiwa
Katika yote wewe bado Mungu
Ninajua kushiba na kuona njaa
Katika yote wewe bado Mungu
Ninajua udhaifu na kuwa na afya
Katika yote wewe Bado Mungu
Hata upepo nao uvume
Mimi nitakuabudu wewe
(Ooh Yesu Yesu)
Chanzo cha uhai wangu nakuabudu
Hata giza nalo litande
Mimi nitakuabudu wewe
Chanzo cha uhai wangu nakuabudu
Nakuabudu Nakuabudu
Wewe ni chanzo cha uhai wangu
Nakuabudu Nakuabudu
Wewe ni chanzo cha uhai wangu
Nakuinua Nakuinua
Wewe ni chanzo cha uhai wangu
by Songs Archive | Jun 9, 2021 | Gospel Music, Lyrics, Swahili
Lyrics:
Ancient of days king of glory
Great I am that’s who you are
Self-existing God beginning and the end
Alpha and Omega
You are my strength You’re my strong tower
Creator of all universe .
You are my strength You’re my strong tower
Creator of all universe
You are my strength You’re my strong tower
Creator of all universe
In You I live I move and have my being
Creator of all universe .
Kwako naishi, kwako naenda
Kwako napata uhai wangu
Kwako naishi, kwako naenda
Kwako napata uhai wangu
Kwako naishi, kwako naenda
Kwako napata uhai wangu .
Creator creator
Creator creator .
My healer strong tower
Redeemer deliverer .
You are my strength You’re my strong tower
Creator of all universe
You are my strength You’re my strong tower
Creator of all universe
Kwako naishi, kwako naenda
Kwako napata uhai wangu
Kwako naishi, kwako naenda
Kwako napata uhai wangu .
Mponyaji mponyaji, mponyaji mponyaji
Mfariji mfariji, mfariji mrafiji