Video+Lyrics: Narudisha by Gloria Muliro

Video+Lyrics: Narudisha by Gloria Muliro

Lyrics
Abudiwa Bwana, tukuka Bwana,
Heshimika Bwana, tukuka milele,
Wewe ni Mungu hakuna kama wewe Bwana,
Unayotenda hakuna mwingine awezaye tenda,
Unarudishia watu miaka yao, waliopoteza
Unarudishia watu miaka yao, iliyoliwa na nzige
Ulimrudishia Ayubu miaka yote aliopoteza,
Mali yake watoto wote bwana ulirudisha,
Tena maradufu,
Bwana ulirudisha nami najua nitarudishiwa,
Miaka yangu nitarudishiwa,
Iliyoliwa na nzige nitarudisha,
Eeeiee miaka yangu,
Iliyoliwa na nzige,
Narudisha! narudisha!
Miaka yangu iliyoliwa na nzige,
Narudisha kwa jina la Yesu
Miaka yangu, iliyoliwa na nzige,
Narudisha! narudisha!
Miaka yangu iliyoliwa na nzige,
Narudisha kwa jina la Yesu
Narudisha! narudisha!
Narudisha kwa jina la Yesu
Nzige wamekula amani ya wengi,
Nzige wameharibu afya ya wengi mno,
Angalia imebaki mifupa mikavu,
Tazama imebakia mifupa mikavu,
Lakini kuna tumaini, Bwana atarudisha,
Amani itarudishwa, afya itarudishwa,
Biashara itarudishwa, furaha inarudishwa,
Waliopakwa tope, Bwana anasafisha,
Walioshushwa chini Bwana anainua,
Ata mti ukikatwa, utachipuka tena,
Waliopoteza maono yao jipe moyo,
Bwana anarudisha kwa jina la Yesu
Narudisha, narudisha,
Miaka yangu, iliyoliwa yote,
Narudisha kwa jina la Yesu,
Miaka yangu iliyoliwa na nzige,
Narudisha, narudisha,
Miaka yangu yote iliyoharibiwa
Narudisha kwa jina la Yesu
Vyote vyangu nilivyopoteza kwa nzige
Narudisha, narudisha
Mali yangu niliyopoteza mimi
Narudisha kwa jina la Yesu
Nasema yote niliyopoteza
Narudisha, narudisha
(narudisha, narudisha)
Narudisha kwa jina la Yesu
Video+Lyrics: Ndio Yako by Gloria Muliro

Video+Lyrics: Ndio Yako by Gloria Muliro

Lyrics
Oooh oooh yeah
Yeah yeah
STILL ALIVE.
Ingelikuwa Mungu anauliza mwanadamu uuuh
Jinsi ya kumtendea aaah mwanadamu
Basi mimi nisingekuwa, jinsi nilivyo
Hata tena nisingekuwa, mahali nilipo
Ungeambiwa sifai, uanze kukanya vikali
Ungekumbushwa ndambi zangu za kale, baba yoyo
Unabariki unayependa aaah, Unabariki unavyopenda aaah
Mimi, nahitaji eeeh
Nahitaji ndio oo yako Yesu tu
Nahitaji ndio oo yako Yesu tu
Ninataka ndio oo yako Yesu tu
Ndio yako ndio itanisimamisha aaah
Ndio yako itanifungulia milango oooh
Hakuna sikio lenye funiko jamani
Wala sijaona jicho, lenye pazia aaah
Adui zako wangelikuwa na uwezo ooo
Wangefumba macho, wangefunika masikio ooo
Wasikuone ukiwa juu, wasisikie umebarikiwa eeee
Meza utandaliwa mbele yao oooh
Utakunywa utakula mbele yao oooh
Nasema ndio, ndio ya bwana aaah aah
Nahitaji ndio oo yako Yesu tu
Nahitaji ndio oo yako Yesu tu
Ninataka ndio oo yako Yesu tu
Ndio yako ndio itanisimamisha aaah
Ndio yako itanifungulia milango oooh
Ndioo yakoo, ndioo yakoo
Yesu usiposema ndio, imani yangu akili zangu hazitaweza
Wanasema, sema ndio yatosha eeeh
Nahitaji ndio oo yako Yesu tu
Nahitaji ndio oo yako Yesu tu
Ninataka ndio oo yako Yesu tu
Ndio yako ndio itanisimamisha aaah
Ndio yako itanifungulia milango oooh
Ndio yako ndio itanisimamisha aaah
Ndio yako itanifungulia milango oooh
Ndio yako ndio itanisimamisha aaah
Ndio yako itanifungulia milango oooh
Ooooh ndio yako ooh
Ooooh ndio yako ooh
Ooooh ndio yako ooh
Ooooh ndio yako ooh
Utanifungulia mlango, Masiya aah